Monday, November 13, 2023
WE HAVE TO FERA EGYPT CLUBS
South Africans please relax, Nigerian clubs still hold better records
And meanwhile, you only have sundown occupied and carried on by foreigners, that's why the sundown team always takes you no where to recognition in the green , yellow and blue for bafana bafana
JE KOCHA MPYA WA SIMBA NI HUYU BENCHIKHA MBADALA WA ROBERTINOH?
Klabu ya Simba inatajwa kwamba imeanza mazungumzo na Kocha Abdelhak Benchikha ili aweze kuja kuifundisha timu hiyo, mjadala mkubwa hapa ni mshahara wa Kocha huyu ambaye amefanikiwa kubeba makombe mawili makubwa Afrika, Kombe la Shirikisho Afrika na ubingwa wa Super Cup
Kwa mujibu wa tovuti ya 'Transfer Market' Kocha huyu mpaka anaondoka RS Berkane ambayo aliipa ubingwa wa CAFCC 2022 alikuwa akilipwa mshahara wa Tsh.Milioni 53 kwa Mwezi.
Akaenda kujiunga na USM Algers ambao nao aliwapa ubingwa CAFCC 2023 na ubingwa wa Super Cup, mpaka anachana na miamba hiyo ya Algeria alikuwa akilipwa mshahara unaofika hadi kufikia Tsh Milioni 80+
Kiufupi Kocha Benchikha ni mwalimu mwenye mafanikio makubwa kwa soka la Afrika ila pia ana thamani kubwa sokoni.Kama Simba SC wakiweza kumchukua Kocha huyu basi hapo ndo tutasema "Mkubwa hufanya mambo makubwa"
KUMBE KLABU YA SIMBA NDIO BORA KULIKO NYINGINE AFRIKA YA MASHARKI??? WENGNE WATAKIWA KUACHA KUJIPA UBORA
Simba imepata heshima kubwa kwa Mwenyekiti wa Bodi, Salim Muhene kuwa sehemu ya wageni maalumu (VVIP) katika eneo ambalo walialikwa viongozi wa vilabu shiriki pekee vya African Football League katika mchezo wa fainali ya michuano hiyo kati ya Mamelodi Sundowns na Wydad Athletic Club mjini Pretoria, Afrika Kusini. Viongozi wa timu ambazo hazishiriki AFL walikaa sehemu ya mashabiki wa kawaida. #WenyeNchi #NguvuMoja
Sunday, November 12, 2023
WACHEZAJI WASTAAFU WA SOKA NIGERIA WATUNUKIWA phD WEWE VIPI MCHEZAJI WA BONGO??
Super Eagles former number one goalkeeper and ex-captain, Vincent Enyeama was on Saturday, November 11, 2023 awarded a honorary Doctorate Degree by the University of Uyo, the oldest federal university in Akwa Ibom State, Nigeria.
Congratulations Dr. Enyeama Vincent
Saturday, November 11, 2023
Raphael Dwamena: Ghana striker dies after collapsing during game in Albania-mshambuliaji Dwamena wa Ghana hatunae tena-RIP
KF Egnatia's Ghanian forward, Raphael Dwamena has passed away after suffering heart attack in the 23th minute of the game against FK Partizani.
The 28 year old had previous heart condition years ago but he refused to hang up his boots as he wanted to continue doing what he loved the most, playing football. He was without a doubt one of the best players in the Albanian Superliga and he was the league's top scorer with 9 goals this season.
Rest in peace, Raphael ππ
MSHAMBULIAJI wa timu ya Ghanian ya KF Egnatia, Raphael Dwamena amefariki dunia baada ya kupata mshtuko wa moyo katika dakika ya 23 ya mchezo dhidi ya FK Partizani.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alikuwa na ugonjwa wa moyo miaka iliyopita lakini alikataa kutundika daruga lake kwani alitaka kuendelea kufanya kile anachokipenda zaidi, kucheza soka. Bila shaka alikuwa mmoja wa wachezaji bora katika Superliga ya Albania na alikuwa mfungaji bora wa ligi akiwa na mabao 9 msimu huu.
Pumzika kwa amani Raphael ππ
Subscribe to:
Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
π‘Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...






