Saturday, November 11, 2023

Raphael Dwamena: Ghana striker dies after collapsing during game in Albania-mshambuliaji Dwamena wa Ghana hatunae tena-RIP

KF Egnatia's Ghanian forward, Raphael Dwamena has passed away after suffering heart attack in the 23th minute of the game against FK Partizani. The 28 year old had previous heart condition years ago but he refused to hang up his boots as he wanted to continue doing what he loved the most, playing football. He was without a doubt one of the best players in the Albanian Superliga and he was the league's top scorer with 9 goals this season. Rest in peace, Raphael πŸ˜“πŸ•Š
MSHAMBULIAJI wa timu ya Ghanian ya KF Egnatia, Raphael Dwamena amefariki dunia baada ya kupata mshtuko wa moyo katika dakika ya 23 ya mchezo dhidi ya FK Partizani. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alikuwa na ugonjwa wa moyo miaka iliyopita lakini alikataa kutundika daruga lake kwani alitaka kuendelea kufanya kile anachokipenda zaidi, kucheza soka. Bila shaka alikuwa mmoja wa wachezaji bora katika Superliga ya Albania na alikuwa mfungaji bora wa ligi akiwa na mabao 9 msimu huu. Pumzika kwa amani Raphael πŸ˜“πŸ•Š

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...