Thursday, November 30, 2023
RAIS WA TFF: TUNATAKA TUUPUMZISHE UWANJA WA BENJAMINI MKAPA SASA
“Miundombinu ni jambo ambalo lilikuwa na changamoto sana ,sasa hivi viwanja mmeona vinapendeza lakini uwanja wa Taifa ni uwanja wa serikali. Sisi tunachoangalia ni kuhakikisha uwanja hatuuzidishii matumizi “
“Ikiwezekana ligi zetu ichezwe mechi ya Simba na Yanga tu ,kuhusu ligi mechi zinazoihusu Simba au Yanga zitachezwa sehemu nyingine ,ila wanapocheza wao wenyewe sawa na hata timu ya Taifa tunataka tuangalie sehemu nyingine ya kucheza ili uwanja upumue “
Rais wa shirikisho la soka Tanzania (TFF ) Wallace Karia akielezea mipango ya kuufanya uwanja wa Taifa (Benjamin Mkapa ) uweze kudumu kwa muda mrefu kwa ubora.
HERSI RAIS WA YANGA AUKWAA UENYEKITI WA ACA BARANI AFRIKA
Klabu ya Young Africans SC inampongeza Rais wake Eng. Hersi Ally Said kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kwanza wa Shirikisho la Vilabu Afrika (Africans Clubs Association).
Subscribe to:
Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...


