Monday, November 20, 2023
YANGA KABLA YA KUEPA KUKUTANA NA CRBELOUZIDAD INA JAMBO LAO
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi klabu bingwa Afrika.
🟡Pia Yanga siku ya Jumatatu hii watazindua Jezi za michuano ya klabu bingwa Afrika, ambapo watazindua jezi mapema na Usiku wataanza safari ya kuelekea Algeria.
Inatajwa maudhui ya goli tano alizopasuka Simba dhidi ya Yanga zitawekwa kwenye Jezi hiyo, NIMETHIBITISHA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment