Thursday, November 16, 2023

DAR YOUNG YAPANIA KUVURUGA AS VITA

Kwa mujibu wa chanzo changu ni kuwa Klabu ya Yanga imefungua mazungumzo rasmi na Uongozi wa klabu ya AS Vita Club ili kununua mkataba wa Elie Mpanzu ambaye ni winga wa kulia. - Winga Elie Mpanzu amebakiwa na mkataba wa mwaka mmoja katika Klabu ya AS Vita, na Mchezaji ameshawishika kujiunga na Klabu ya Yanga dirisha lijalo la uhamisho. - Baada ya Uongozi wa Yanga kupokea ripoti ya mapendekezo ya usajili kutoka kwa Kocha mkuu Miguel Gamondi, Uongozi umeanza kuyafanyia kazi mahitaji ya mwalimu mapema. - Klabu ya Yanga inapambana sana kukamilisha dili hilo kwa wakati.

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...