Friday, October 20, 2023

HIKI NDICHO KIKOSI HA AL AHLY KILICHOTOKA SARA YA 2-2 NA MNYAMA SIMBA
KIKOSI KILICHOANDALIWA KUIANGAMIZA AL AHLY HIKI HAPA
VAR is already at Mkapa Stadium, the big Simba team here in Tanzania is expected to play with the big Al Ahly team of Egypt, in the first major African opening tournament of the African Football League, which will hold the eight best teams in Africa
MWANAMKE BIKIRA WA MIAKA 70 ANATAFUTA MCHUMBAHUKO DRC-HAJAWAHI KUFANYA MAPENZI
Mwanamke bikira ni vigumu kupata katika ulimwengu wa kisasa. Aliphosin Tabarwa, bikira mwenye umri wa miaka 70 kutoka DRC, alisema kuwa yeye ni Bikira ambar hajawahi kutenda tendo la ngono. Hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume. Tabarwa alidai katika mahojiano na chombo cha habari cha Afrimax English kuwa alitoa kila kitu na sio kuhongwa kama wengine ili kujikimu bali alisimama kidete kuwatunza wadogo zake. Aliamua kuachana na anasa za dunia ili aweze kuwalea ndugu zake na kuhakikisha wote wanamaliza elimu ya sekondari. Kwa kuwa aliepuka wanaume na kwa ujumla kukataa kwake hata walipojaribu kumkaribia, hajawa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume kwa miaka 70 iliyopita. Bikira huyo mwenye umri wa miaka 70 pia alikiri kwamba, wakati wenzake wote wa umri wake wameolewa na wana familia, yeye ana ndugu zake tu,ambao nao walioa na kuolewa na mpaka sasa anishi katika mazingira yenye furaha. Usiwe kama Tabarwa wewe, pata mpenzi huyo ameamua kuwa hivyo japokuwa hakuna aliyemchunguza kubaini kama kweli hajawahi....anatafuta mwenza sasa kama vipi unaweza kumtafuta ukajipatia mke swaafi.
MNYAMA ATABASAMU BAYANA KUMUUA MWARABU AL AHLY LEO KWA MKAPA
Meet 70-year-old virgin who is currently looking for a man to marry her
A virgin woman is hard to come by in the modern world. Aliphosin Tabarwa, a 70-year-old virgin from the DRC, said that she is extremely pure. She has never had a sexual relationship with a man. Tabarwa claimed in an interview with Afrimax English that she gave everything up to care for her younger siblings. She decided to abstain from worldly pleasures so that she could raise her siblings and ensure that they all finished high school. Since she avoided men and generally said no to them when they tried to approach her, she hasn’t had a sexual relationship with one for the past 70 years. The 70-year-old virgin also admitted that, while all of her peers her age are married and have families, she only has her siblings, for whom she has sacrificed her happiness. Don’t be like Tabarwa, get that boyfriend, and start a life.
Nahodha wa timu, John Bocco amesema licha ya ugumu tutakaoupata kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Al Ahly lakini uwepo wa mashabiki ambao watakuja kwa wingi uwanjani utatuongezea nguvu. Bocco amesema mashabiki wana mchango mkubwa kuisaidia timu kupata ushindi nasi tutatumia nafasi hiyo kuhakikisha tunashinda ili kujiweka kwenye mazingira mazuri. Bocco ameongeza kuwa haitakuwa mechi rahisi na kila mchezaji analijua hilo na maandalizi waliyopata anaamini tutapata ushindi. The captain of the football team of Simba sports club, John Bocco has said that despite the difficulties we will face in tomorrow's game against Al Ahly, the presence of fans who will come to the field in large numbers will increase our strength. Bocco said the fans have a great contribution to help the team win and we will use that opportunity to ensure we win to put ourselves in a good environment. Bocco added that it will not be an easy match and every player knows that and the preparation they got believes we will win.
Mbali na kile kinachoelezwa kwamba eti mcheza kwao hutuzwa,hilo halikuwezekana kwa timu mwenyeji ya Kiwanda cha sukari cha Mtibwa iliposhindwa kuwika kwenye Uwanja wa mpira wa miguu wa Manungu mara baada ya kupigwa na Kagera Sugar ya kiwanda cha sukari cha Kagera magoli 2=0 na kuiwezesha Kagera kupata pointi Tatu,mchezo ambao ni derby ya viwanda vya sukari,. In addition to what is said that their player is supposed to be rewarded, that was not possible for the host team of Mtibwa sugar factory when they failed to come to the Manungu football stadium immediately after being beaten by Kagera Sugar of Kagera sugar factory 2 goals = 0 and enabling Kagera to get three points, a game that is a derby of sugar factories.

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...