Tuesday, May 1, 2012

MEI DEI KWARAA BABATI

Bendera mbili zisizoiva chungu kimoja,Lakini Haki na wajibu pia

MEI MOSI BABATI

Mambo yaliiva kwenye uwanja wa kwaraa babati,mtu kibao

SHEREHE ZA MEI MOSI UWANJA KWARAA BABATI


INGAWA hakuzunngumzia kabisa suala la upandaji wa miti linalosimamiwa na ofisi yake,makamu Rais aliamua kupanda mti baada ya kuzindua chuo cha VETA mkoani Amanyara

Mkuu wa mkoa wa Manyara bw Elaston Mwbillo kushoto akionekana ktaka kummegea ishu makamu wa Rais dr Mohamedi Bilal kulia ni balozi wa Korea Kusini bw Young Hoom kulia

MAKAMU WA RAIS DR BILALI AKITEMA CHE CHE BABATI

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania dr Mohamedi Ghalib Bilal amesema umefika wakati kwa serikali kusimamia kidete suala la kuimarisha na kukuza elimu ya ufundi stadi ili kuwajengea uwezo watanzania waweze kukabiliana na soko la ushindani la jumuiya ya afrika ya mashariki ambapo wajasiriamali wameanza kuingia nchini hali ambayo kama serikali italala upo uwezekano watanzania wakawa hawana uamuzi katika kukuza uchumi wao
akihutubia umati mkubwa wa wananchi mjini babati baada ya kuzindua na kutembelea chuo cha VETA amesema umefika wakati kwa serikali kutoa msukumo kwa jamii kujiunga na VETA ili kuleta tija kabla ya sko hilo halijavamiwa na wananchi jirani na Tanzania.
"elimu ya ufundi ni kichocheo cha ajira za mapema kabla ya kukamilika kwa jumuiya ya afrika ya mashariki,lakini idadi ya wanaohitimu ni ndogo mfano takwimu zinaonyesha kuwa 2006 uwiano wa fundi mchundo na mwananchi ni kati ya fundi mmoja 1:1618 halii inatisha kama watanzania wasipoliangalia kwa makini"
Hata hivyo ameitaka serikali kujizatiti kuhakikisha kuwa elimu ya ufundi stadi inakua ili kuongeza pato la uchumi na watanzania wakiwa wanaongoza katika ajira badala ya wageni toka nje ya nchi.
Nae balozi wa Korea ya kusini bw Young Hoon kim amesema serikali yake itahakikisha inaisaidia serikali ya Tanzania ili iweze kupata wataalamu wa teknolojia ya ufundi standi inasimama'
mwisho










Hii ni ngoma ya jamii ya kabila la wairaq la wagorowa wakifanya vitu vyao baada ya makamu Rais kuwasili kabla ya kuzindua VETA Babati-hawa jamaa ni hatari wasiponyamazishwa ama kufukuzwa eneo la tukio hucheza hata siku tano huku wakiwaalika wenzao jambo ambalo limeonekana kwa maambukizi ya ukimwi ni hatari

MAKAMU Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr Mohamedi Ghalib Bilal akiwasili kwenye eneo la chuo cha Ufundi stadi VETA kilichopo mjini Babati mkoa wa Manyara anaonekana akisalimiana na timu ya wakuu wa wilaya tano za mkoa wa Manyara dakika chache kabla ya kuzindua chu hicho kilichopo eneo la Waang'waray mjini babati leo Aprili 30 mwaka huu-picha na mwandishi wetu wa water pwaa!! pwaa!! pwaa!

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...