Monday, November 13, 2023

KUMBE KLABU YA SIMBA NDIO BORA KULIKO NYINGINE AFRIKA YA MASHARKI??? WENGNE WATAKIWA KUACHA KUJIPA UBORA

Simba imepata heshima kubwa kwa Mwenyekiti wa Bodi, Salim Muhene kuwa sehemu ya wageni maalumu (VVIP) katika eneo ambalo walialikwa viongozi wa vilabu shiriki pekee vya African Football League katika mchezo wa fainali ya michuano hiyo kati ya Mamelodi Sundowns na Wydad Athletic Club mjini Pretoria, Afrika Kusini. Viongozi wa timu ambazo hazishiriki AFL walikaa sehemu ya mashabiki wa kawaida. #WenyeNchi #NguvuMoja

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...