Wednesday, October 25, 2023
AL AHLY YASHINDWA KUMFUNGA SIMBA CAIRO YAINGIA NUSU FAINALI AFL KWA KANUNI
KLABU ya Al Ahly ya Misri imefanikiwa kuvuka kizingiti cha kuingia Nusu fainali ya mashindano makubwa ya African Football League yanayoshirikisha Vilabu Bora Vinane Barani Afrika vya Simba spotrs Club ya Tanzania kutoka Kanda ya Mashariki ya Afrika,Mamelodi Sundowns ya Afrika ya Kusini na Petro Atlentico de Luanfa ya Angola zote hizo zikitokea uknda wa Kusini mwa Jangwa la Sahara,timu nyingine ni Enyimba ya Nigeria kutoka Ukanda wa Magharibi ya Afrika,Touit Puissant Mazembe afrika ya Kati,Eperance ya Tunisia,Wydady ya Morrocco,Al ahly zote za Kaskazini ya afrika.
Timu zote hizo zimekuwa vinara wa kuanzishwa kwa mashindano hayo makubwa na yenye kipato kikubwa barani afrika kwa kuangalia mwenendo wa ushiriki wao hasa kwenye kufikia makundi ya ligi ya klabu bingwa Afrika,ubora na viwango vya pointi katika ushiriki.
Kwa mantiki hiyo basi,katika kundi la kwanza lililoshirikisha kati ya Simba na Al Ahly kulingana na timu hizo kutoka sare ya magoli 2-2 jijini Dar na kurudiana jijini Cairo na kulazimika kufungana sare ya 1-1 kulingana na kanuni Al ahly itakutana na Mamelodi Sundowns iliyoifunga Atlentico de Luanda 2-0 katika mchezo wa kwanza uliochezwa nchini Angola na mchezo wa maudiano uliochezwa nchini Afrika ya Kusini timu hizo zilitoka sare ya 0-0.
Klabu ya Simba sasa inarudi jijini Dar kuendelea na mashidano ya ligi Kuu ya NBC kabla ya kuanza kushiriki ligi ya vilabu bingwa barani afrika kwa kucheza na ASEC Mimosas ya Ivory Coast iliyopangwa kwenye kundi B lenye timu za Wydad,Jwaneng Galax,huku Al Ahly ikiwa kundi D lenye kundi la CRBeloizdad ya Algeria,Medeama ya Ghana na Young Africans ya Tanzania.
Ligi hiyo ya vilabu bingwa inatarajia kuanza Novemba 24 mwaka huu
Al Ahly CLUB of Egypt has successfully crossed the threshold to enter the semi-finals of the major African Football League competition involving the eight best clubs in Africa, Simba Sports Club of Tanzania from the East African Region, Mamelodi Sundowns of South Africa and Petro Atlantico de Luanfa. of Angola, all of which come from the region south of the Sahara Desert, the other team is Enyimba from Nigeria from West Africa, Tout Puissant Mazembe from Central Africa, Eperance from Tunisia, Wydady from Morocco, Al ahly all from North Africa.
All those teams have been the flagships of the establishment of the big and high-income competition in Africa by looking at the trend of their participation, especially in reaching the league groups of the African champion club, the quality and the level of points in participation.
With that logic then, in the first group that involved Simba and Al Ahly according to the teams from a 2-2 goal draw in Dar and a draw in Cairo and having to draw 1-1 according to the rules, Al Ahly will meet Mamelodi Sundowns which beat Atlantico de Luanda 2-0 in the first game played in Angola and the second game played in South Africa the teams drew 0-0.
Simba Club is now returning to Dar to continue with the NBC Premier League before starting to participate in the African Champions League by playing with ASEC Mimosas of the Ivory Coast, arranged in Group B with the teams of Wydad, Jwaneng Galax, while Al Ahly is the group D with a group of CRBeloizdad of Algeria, Medeama of Ghana and Young Africans of Tanzania.
The league of champion clubs is expected to start on November 24 this year
Tuesday, October 24, 2023
AL HILAL YA SUDAN KUTUMIA KWA MKAPA CAF CHAMPIONS LEAGUE.
Miamba ya Sudan, Al Hilal ya Sudan itautumia uwanja wa Benjamin Mkapa kama uwanja wake wa nyumbani msimu huu.
Klabu hiyo imepangwa Kundi C dhidi ya
-Experiance de Tunis πΉπ³
-,Etoile du sahel πΉπ³
- Petro Atletico De Luanda π¦π΄
Hakika Tanzania inazidi Kukua Kila Siku Kwenye Soka Letu Wengi wameamua Kufanya Kimbilio Wataelewa tu hapo badae..ππππ
#amoskasamnyiga
div class="separator" style="clear: both;">

THE GROOM LEAVES HIS WIFE TWO DAYS AFTER THE MARRIAGE CASE HE DOESN'T KNOW HOW TO FRY FAT
n Busia, Kenya, there’s a report of a man named Wanyonyi who allegedly divorced his wife just a week after their wedding, citing her inability to cook and a perceived lack of romance as reasons.
This event has sparked discussions about the evolving marital expectations in modern Kenyan society.
In Kenya, cooking has traditionally been a role expected of married women, often seen as a reflection of their suitability as wives.
However, as gender roles change, some argue that it’s unfair to demand culinary expertise from a newlywed.
Wanyonyi’s swift divorce has prompted questions about the reasonableness of his expectations.
Many believe that expecting culinary perfection so early in a marriage is unrealistic.
Successful marriages require mutual learning and adaptation.
Wanyonyi also mentioned a lack of romance as a reason for the divorce.
It’s important to recognize that couples develop intimacy and emotional closeness over time.
Wanyonyi’s quick divorce highlights the importance of setting realistic expectations and maintaining open communication in a marriage.
While traditions persist, every couple is unique.
Instead of hastily ending a marriage, couples should focus on understanding and growing together, as strong unions are built on love, respect, and mutual growth.
TUPO TAYARI KUMALIZIA KAZI TULIYOIANZA KWA MKAPA JAPOKUWA AL AHLY NI WAGUMU KWAO-ROBERTINHO
Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Cairo International leo saa 11 jioni kuikabili Al Ahly katika mchezo wa marudiano wa African Football League
Katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Oktoba 20 tulitoka sare ya mabao 2-2.
Tunahitaji kushinda mchezo huu ili kutinga nusu fainali ya michuano hii ingawa tunajua haitakuwa kazi rahisi kutokana na ubora wa Al Ahly hasa wakiwa kwao.
Robertinho kuja na mbinu tofauti…..
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ameweka wazi kuwa atakuja tofauti kulinganisha na tulivyocheza mchezo kwanza jijini Dar es Salaam juzi.
Robertinho amesema anategemea pia kufanya mabadiliko ya baadhi ya wachezaji ambao wataendana na mpango wa mechi ya leo.
“Mchezo uliopita tulicheza vizuri zaidi kipindi cha pili, nataka tuanze hivyo leo lakini tutakuwa tofauti kidogo kuanzia kwenye upangaji wa timu.”
“Pamoja nakuwa tunaiheshimu Al Ahly lakini tumekuja Misri kwa lengo la kupambana tushinde mchezo na tufuzu nusu fainali,” amesema Robertinho.
Wachezaji hawajakata tamaa…..
Pamoja na kutoka sare ya mabao 2-2 nyumbani wachezaji hawajakata tamaa na wanaamini wanaweza kufanya maajabu ugenini.
Kiungo mshambuliaji, Willy Essomba Onana amesema dakika 90 za leo tutazipambani kuhakikisha tunapata matokeo chanya.
“Kwenye mpira hakuna kisichowezekana, hata sisi tunaweza kupata mabao mawili kwao, kikubwa wachezaji tupo tayari kupambana,” amesema Onana.
Subscribe to:
Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
π‘Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...





