
Tuesday, October 24, 2023
AL HILAL YA SUDAN KUTUMIA KWA MKAPA CAF CHAMPIONS LEAGUE.
Miamba ya Sudan, Al Hilal ya Sudan itautumia uwanja wa Benjamin Mkapa kama uwanja wake wa nyumbani msimu huu.
Klabu hiyo imepangwa Kundi C dhidi ya
-Experiance de Tunis πΉπ³
-,Etoile du sahel πΉπ³
- Petro Atletico De Luanda π¦π΄
Hakika Tanzania inazidi Kukua Kila Siku Kwenye Soka Letu Wengi wameamua Kufanya Kimbilio Wataelewa tu hapo badae..ππππ
#amoskasamnyiga
div class="separator" style="clear: both;">

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
π‘Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...
No comments:
Post a Comment