Saturday, October 28, 2023

MKUDE AMGEUKA MO AMDAI FIDIA YA BIL MOJA

Kiungo wa Yanga SC, Jonas Mkude amefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiidai Kampuni ya Mohamed Enterprises Tanzania Limited (METL) fidia ya Tsh bilioni moja kwa kutumia picha zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwemo Instagram na X (zamani Twitter) bila idhini yake. Mkude ambaye alijiunga na Yanga baada ya kuondoka Simba amefungua kesi ya madai 192 ya mwaka 2023 mbele ya Jaji Butamo Philip dhidi ya kampuni hiyo akidai fidia hiyo Kwa kuvunja haki yake ya msingi.
< A midfielder of Young SC, Jonas Mkude has opened a case in the High Court in the Dar es Salaam region demanding compensation of one billion Tsh from Mohamed Enterprises Tanzania Limited (METL) for using his photos in various social networks including Instagram and X (formerly Twitter) without his approval. Mkude, who joined Yanga after leaving Simba, has filed a 192 claim case of 2023 before Judge Butamo Philip against the company claiming compensation for violating his basic right.

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...