Wednesday, October 25, 2023

KOCHA GAMONDI ACHUKIZWA NA TABIA ZA METACHA AMUENGUA

Kipa Namba Mbili wa Yanga, Metacha Mnata ameshakitibua tena pale Yanga na sasa amewekwa kando na kikosi hicho kwa madai ya utovu wa nidhamu. . Inaelezwa kipa huyo ameingia kwenye utata wa Utovu wa nidhamu na Kocha Gamondi baada ya kushindwa kurejea kambini kwa wakati. . Taarifa kutoka ndani ya Yanga zinaeleza kwamba Metacha hakufanya mawasiliano yoyote akiwa nje ya kikosi hicho. Mbali na Metacha inaelezwa pia kiungo Jonas Mkude, naye mapema alifanya kosa kama hilo ingawa aliwahi na kujisalimisha na kupewa adhabu za ndani na baadaye kusamehewa. Ingawa chanzo hicho cha Uhakika hakikueleza ni Metacha amewekwa pembeni kwa muda gani Hii ni Hot water blogspot.com

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...