Wednesday, October 25, 2023
BAADHI YA MASHABIKI WA YANGA WAMTAKA GAMONDI KUMUIGA ROBERTINOH ILI KUONDOAFEDHEHA KWA AL AHYL KWENYE MAKUNDI
USHIRIKI wa Timu ya soka ya Simba sports club ya Tanzania katika mashindano ya ligi kubwa mpya uliozishirikisha timu bora Nane Barani Afrikadhidi ya Al Ahly ya Misri kumetoa funzo kwa kocha wa timu ya klabu ya Young Africans Muargentina Miguel Gamondi kujifunza mkakati wa kuikabili dhidi ya timu ya Al Ahly iliyocheza dhidi ya Simba iliyoshirki mashindano hayo ya AFL kwa ajili ya kupata ushindi katika ligi ya vilabu bingwa afrika inayotarajiwa kuanza Nov 24 2023.
Gamondi pia alikririwa akieleza kuwa atakuwa makini katika mchezo wa awali kuifuatilia kufahamu mfumo na mbinu na aina ya wachezaji kwa ajili ya maandalizi na Al Ahly aidha pia kumfuatilia kocha Robertinoh mbinu na mfumo waaliyoitumia kwa ajili ya maangamizi.,
”Ni kweli endapo Gamondi hatamuiga Robertinoh basi tutakufa mbele yao lakini anapaswa kumtafuta Robertinoh ili amsaidie yanga kama huu ulio sahihi na Simba wamefuta Uteja tofauti na matarajio yetu tumebaki sisi,,,,,,,,,,,aliongea hamisi bakari shabiki wa yanga
Hamisi anasisitiza kumtaka Gamondi kutumia mfumo wa Robertinoh huku akitofautisha mashindano ya CL yanayohitaji pointi nay ale ya APL yanayozingatia idadi kubwa ya magoli Huku akisema Simba imefungua darasa ambalo Yanga wanatakiwa kuiga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment