Wednesday, October 25, 2023
AHMED ALLY AWACHOKOA PUANI KWA KIDOLE CHA SHAHADA WALIOKOSA SIFA YA KUSHIRIKI AFL
Hatuwezi kuacha kujivunia perfomance na progress ya timu yetu
Tumeonesha kwanini FIFA, AFL na CAF walituamini kutuchagua kushiriki mashindano haya
Mechi yetu itasalia kuwa ndo mechi bora ya michuano hiii Tumeipa heshima AFL
Sisi ndo timu pekee ambayo tumeondolewa kwenye mashindano bila kufungwa
Upo wakati mwingine wa kutimiza malengo yetu na hauko mbali
Muhimu ni kuendeleza mipango
Wana Lunyasi tutembeee kifua mbele timu tunayo, wachezaji tunao na mipango tunayo ni muda tuu utaamua!!!
Najivunia hii timu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment