Hii ni ngoma ya jamii ya kabila la wairaq la wagorowa wakifanya vitu vyao baada ya makamu Rais kuwasili kabla ya kuzindua VETA Babati-hawa jamaa ni hatari wasiponyamazishwa ama kufukuzwa eneo la tukio hucheza hata siku tano huku wakiwaalika wenzao jambo ambalo limeonekana kwa maambukizi ya ukimwi ni hatari
Tuesday, May 1, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...
No comments:
Post a Comment