MAKAMU Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr Mohamedi Ghalib Bilal akiwasili kwenye eneo la chuo cha Ufundi stadi VETA kilichopo mjini Babati mkoa wa Manyara anaonekana akisalimiana na timu ya wakuu wa wilaya tano za mkoa wa Manyara dakika chache kabla ya kuzindua chu hicho kilichopo eneo la Waang'waray mjini babati leo Aprili 30 mwaka huu-picha na mwandishi wetu wa water pwaa!! pwaa!! pwaa!
Tuesday, May 1, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...
No comments:
Post a Comment