MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania dr Mohamedi Ghalib Bilal amesema umefika wakati kwa serikali kusimamia kidete suala la kuimarisha na kukuza elimu ya ufundi stadi ili kuwajengea uwezo watanzania waweze kukabiliana na soko la ushindani la jumuiya ya afrika ya mashariki ambapo wajasiriamali wameanza kuingia nchini hali ambayo kama serikali italala upo uwezekano watanzania wakawa hawana uamuzi katika kukuza uchumi wao
akihutubia umati mkubwa wa wananchi mjini babati baada ya kuzindua na kutembelea chuo cha VETA amesema umefika wakati kwa serikali kutoa msukumo kwa jamii kujiunga na VETA ili kuleta tija kabla ya sko hilo halijavamiwa na wananchi jirani na Tanzania.
"elimu ya ufundi ni kichocheo cha ajira za mapema kabla ya kukamilika kwa jumuiya ya afrika ya mashariki,lakini idadi ya wanaohitimu ni ndogo mfano takwimu zinaonyesha kuwa 2006 uwiano wa fundi mchundo na mwananchi ni kati ya fundi mmoja 1:1618 halii inatisha kama watanzania wasipoliangalia kwa makini"
Hata hivyo ameitaka serikali kujizatiti kuhakikisha kuwa elimu ya ufundi stadi inakua ili kuongeza pato la uchumi na watanzania wakiwa wanaongoza katika ajira badala ya wageni toka nje ya nchi.
Nae balozi wa Korea ya kusini bw Young Hoon kim amesema serikali yake itahakikisha inaisaidia serikali ya Tanzania ili iweze kupata wataalamu wa teknolojia ya ufundi standi inasimama'
mwisho
akihutubia umati mkubwa wa wananchi mjini babati baada ya kuzindua na kutembelea chuo cha VETA amesema umefika wakati kwa serikali kutoa msukumo kwa jamii kujiunga na VETA ili kuleta tija kabla ya sko hilo halijavamiwa na wananchi jirani na Tanzania.
"elimu ya ufundi ni kichocheo cha ajira za mapema kabla ya kukamilika kwa jumuiya ya afrika ya mashariki,lakini idadi ya wanaohitimu ni ndogo mfano takwimu zinaonyesha kuwa 2006 uwiano wa fundi mchundo na mwananchi ni kati ya fundi mmoja 1:1618 halii inatisha kama watanzania wasipoliangalia kwa makini"
Hata hivyo ameitaka serikali kujizatiti kuhakikisha kuwa elimu ya ufundi stadi inakua ili kuongeza pato la uchumi na watanzania wakiwa wanaongoza katika ajira badala ya wageni toka nje ya nchi.
Nae balozi wa Korea ya kusini bw Young Hoon kim amesema serikali yake itahakikisha inaisaidia serikali ya Tanzania ili iweze kupata wataalamu wa teknolojia ya ufundi standi inasimama'
mwisho
No comments:
Post a Comment