Friday, October 20, 2023

MWANAMKE BIKIRA WA MIAKA 70 ANATAFUTA MCHUMBAHUKO DRC-HAJAWAHI KUFANYA MAPENZI
Mwanamke bikira ni vigumu kupata katika ulimwengu wa kisasa. Aliphosin Tabarwa, bikira mwenye umri wa miaka 70 kutoka DRC, alisema kuwa yeye ni Bikira ambar hajawahi kutenda tendo la ngono. Hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume. Tabarwa alidai katika mahojiano na chombo cha habari cha Afrimax English kuwa alitoa kila kitu na sio kuhongwa kama wengine ili kujikimu bali alisimama kidete kuwatunza wadogo zake. Aliamua kuachana na anasa za dunia ili aweze kuwalea ndugu zake na kuhakikisha wote wanamaliza elimu ya sekondari. Kwa kuwa aliepuka wanaume na kwa ujumla kukataa kwake hata walipojaribu kumkaribia, hajawa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume kwa miaka 70 iliyopita. Bikira huyo mwenye umri wa miaka 70 pia alikiri kwamba, wakati wenzake wote wa umri wake wameolewa na wana familia, yeye ana ndugu zake tu,ambao nao walioa na kuolewa na mpaka sasa anishi katika mazingira yenye furaha. Usiwe kama Tabarwa wewe, pata mpenzi huyo ameamua kuwa hivyo japokuwa hakuna aliyemchunguza kubaini kama kweli hajawahi....anatafuta mwenza sasa kama vipi unaweza kumtafuta ukajipatia mke swaafi.

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...