Monday, November 20, 2023
MPAMBANO WA KOMBE LA DUNIA JE WATANZANIA WATATOBOA?
Baada ya kupata ushindi mchezo uliopita, Taifa Stars kesho Jumanne watakuwa dimba la Benjamin Mkapa wakikipiga na Morocco kuwania tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia
Mechi hii itaruka mbashara kupitia#ZBC2 kuanzia saa 4:00 usiku.
#TaifaStars #WorldCup2026 #Morocco
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment