Monday, November 20, 2023
FIFA KUMWAGA MAHELA KWA WACHEZAJI MAJERUHI
🚨FIFA italazimika kuilipa Barcelona fidia ya euro 20,548 kwa kila siku ambayo Gavi atakuwa nje ya uwanja tangu alipoumia akiwa kwenye majukumu ya kimataifa. malipo yataanza siku 28 baada ya mchezaji huyo kupata jeraha na yanaweza kudumu kwa muda usiozidi mwaka mmoja.
Hii ni taratibu ya FIFA ikitokea Mchezaji anapata Majeraha akiwa anatimiza Majukumu katika timu yake ya Taifa basi Shirikisho la Mpira Ulimwenguni yaani FIFA litatoa fidia kwa Mchezaji huyo.
Source [@mundodeportivo]
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment