Wednesday, November 8, 2023
THUBUTU MANGUNGU AAPA HAJIUZULU UENYEKITI KLABU YA SIMBA
🗣"Nijiuzulu kwa sababu gani, kwani timu inafanya vibaya ? Tumepoteza mechi 1 tu, kwa nini hawakusema nijiuzulu wakati tunashinda mfululizo?"
WANA NGUVU MOJA MMESIKIA MANGUNGU ?
Baadhi ya wadau wa soka wakizungumzia shinikizo la kutakiwa kujiuzulu lililozagaa mitandaoni wanasema hao wanamtaka Mangungu ajiuzulu wanapata shinikizo nyuma ya nani??? tatizo halionekani na je hao wanamtaka ajiuzulu sio waliomchagua yeye kuwa mwenyekiti?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment