Tuesday, November 28, 2023

SIMBA NA YANGA ZASHINDWA KUTOA WACHEZJI BORA WA KIKOSI CHA WIKI CAFCL AFRIKA,AL AHLY YATAMBA

TIMU Tisa zinazoshiriki ligi ya Vilabu Bingwa Barani Afrika kati ya 16 zimefanikiwa kupata kuwa na wachezaji bora wa wikia kikosi cha wiki wanaound,huku Al Ahly ikiongoza kwa kutoa wachezaji watatu,vilabu viwili vya Tanzania Simba na Yanga vimeshindwa kufurukuta

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...