Thursday, November 2, 2023

REMA WA NIGERIA ATUHUMIWA KUSHIRIKIANA NA MASHETANI KUIMBA MUSIC

Msanii Rema kutoka nchini Nigeria amekutana na tuhuma za Mashabiki Kwenye Mitandao ya Kijamii zikidai kuwa Msanii huyo anajihusisha na imani za kishetani na hii ni baada ya kuachia Video clip ya wimbo wake mpya wa smooth Criminal ambao upo kwenye Ep yake Mpya ya Ravage inayo tarajiwa kutoka siku ya ijumaa. Mashabiki wamemjia juu Rema baada ya clip hiyo kuonesha matukio yanayo husisha na imani za kishetani. Tafadhari tembelea YouTube channel yetu ya Presenterdax kwa taarifa nyingi zaidi.

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...