Saturday, November 11, 2023

HERSI AONWA SAUZI AKITAFUTA MSHAMBULIAJI KAIZER CHIEFS

Duru zinaarifu kua Raisi wa Klabu ya Young Africans eng. Hersi yupo Africa kusini kukamilisha dili la mchezaji Ranga chivaviro ambae ameshindwa kupenya kwenye kikosi cha kwanza cha Kaizer Chiefs wiki iliyopita Chivaviro aliwasilisha maombi ya kuomba kutolewa kwa mkopo au kuuzwa kwenye msimu wa dirisha Dogo.

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...