Tuesday, November 14, 2023

MALARIA NCHINI HAITMALIZIKA IKIWA MBU HAWA HAWATAANGAMIZWA

Takwimu zinaonyesha kuwa maambukizi ya ugonjwa wa malaria nchini bado ni changamoto licha ya kuendelea kupungua kutoka asilimia 14.7 mwaka 2015 hadi sasa kufikia asilimia 8.1 huku mikoa mitano ikiongoza kanda ya ziwa na Mtwara ambayo maambukizi yapo juu ya asilimia 8 Je, nini kifanyike ili ugonjwa wa malaria utokomee kabisa nchini? Tumia lugha ya staha kwenye kutoa maoni yako.

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...