Tuesday, November 14, 2023

CEZAR LOBI MANZOKI MNA TAARIFA NAE???

🤷. Timu ya Dalian alivyokuwa anaichezea imeshuka daraja na ameomba kurudi nyumbani 👀. Kwa taarifa yako huyu ndio alikuwa MVP wa Dalian na mwamba anatamani sana kuichezea Simba , tusubiri dirisha dogo tu tutamuona Msimbazi na hawa Utopolo mchezaji wao aliyepo Simba jiandaeni tunawapa tena bure ( sitamtaja ).

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...