Monday, November 13, 2023

HAYATI MARYANNE TRUMP BARRY AMEACHA KASRI LA BIL 60 HUKO FLORIDA-Maryanne Trump Barry Lands Buyer for $24 Million Florida Home

Marehemu Maryanne ambaye alikuwa Jaji katika shirikisho ;a Marekani na Wakili enzi ya Uhai wake huko Florida alikuwa akiishi kwenye kasri ambalo alinunua ardhi na kujenga kwa gharama ya shilingi Billion 60 fedha za Kitanzania-hii ni kufru ya watu na fedha zao…amefariki viuri sababu hakuwa mwanamke fukara,hakika mwendo ameumaliza salama,Huu ni msiba mzito sana kwa Donald ambae anaonekana kubaki mwenyewe baada ya ndugu zake watatu wa tumbo moja familia ...tunapaswa kumfariji Donald katika kipindi hiki cha kuomboleza msiba wa dada yake
The late Maryanne, who was a judge in the United States and a lawyer during her lifetime in Florida, was living in a mansion that she bought land and built at a cost of 60 billion shillings in Tanzanian money - this is an insult to the people and their money... she has died because she was not a poor woman, surely she has finished the journey safely, this is a very serious tragedy for Donald who seems to be left alone after his three siblings from the same family... we should comfort Donald in this period of mourning the loss of his sister

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...