Friday, November 17, 2023

AMROCHE WACHEZAJI WENGI WA TIMU YA TAIFA WANAKAA BENCHI KWENYE VILABU VYAO.

“Cha kusikitisha tuna wachezaji wengi ambao hawachezi katika vilabu vyao. Klabu hazitusaidii sana kwa sababu tunawezaje kuwa na timu nzuri ya taifa ikiwa wachezaji wazuri wa timu ya taifa wanakaa benchi."-Adel Amrouche, Kocha wa Taifa Stars.

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...