Monday, October 30, 2023

MO DEWJI AUNDA BARAZA LA USHNDI KLABU BINGWA YA AFRIKA NA UBINGWA LIGI YA NBC

Rais wa heshima wa klabu, Mohamed Dewji ‘Mo’ amefanya uteuzi wa wajumbe 21 wa Baraza la Ushauri wa klabu kwa ajili ya maendeleo. Moja ya majukumu ya Raisi wa heshima ni kuhakikisha Uongozi na Utawala bora unazidi kuboreshwa kila wakati ili kuzidi kusukuma gurudumu la maendeleo ya klabu. Baada ya kushauriana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Mo amewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Baraza la Ushauri ( Advisory Board) wa klabu. 1. Jaji Thomas Mihayo M/kiti 2. Hassan Dalali-Mjumbe 3. Ismail Aden Rage-Mjumbe 4. Evans Aveva-Mjumbe 5. Faroukh Baghoza 6. Swedi Nkwabi-Mjumbe 7. Azim Dewji-Mjumbe 8. Kassim Dewji-Mjumbe 9. Musleh Al-Ruweh-Mjumbe 10. Mohamed Nassor-Mjumbe 11. Mulamu Ng’ambi-Mjumbe 12. Octavian Mshiu-Mjumbe 13. Prof Mohamed Janabi-Mjumbe 14. Hassan Kipusi-Mjumbe 15. Geofrey Nyange-Mjumbe 16. Gerald Yambi-Mjumbe 17. Moses Kaluwa-Mjumbe 18.Crescentius Magori-Mjumbe 19. Juma Pinto- Mjumbe 20. Mwina Kaduguda-Mjumbe 21. Idd Kajuna-Mjumbe Kazi kubwa ya Baraza hili itakuwa ni kuishauri Bodi juu ya maendeleo ya klabu Uongozi na Utawala bora.

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...