Saturday, October 21, 2023
WENGER AND IFANTINO CONGRATULATE THE PLAYERS OF SIMBA SPORTS CLUB IN A TOGETHER PHOTO
Viongozi na wachezaji wa Simba sports club wakiwa katika picha ya pamoja baada ya mchezo wa ufunguzi wa ligi mpya ya AFL dhidi ya Al Ahly ya Misri
Motsepe: AFL has come to increase the economy of the club
The president of the Confederation of African Football (CAF) Patrick Motsepe has said that the aim of the African Football League (AFL) championship is to help African clubs economically.
Motsepe has said that the teams participating in the championship are given a large amount of money and those who do better get bigger to help them do bigger things.
Motsepe added that the AFL will not kill the African Champions League and the Confederations Cup as some think, instead it has started to increase the economic power of the clubs.
"One of the goals of the AFL is to help them financially because we pay a large amount, our plans are to make African clubs modern."
"A large number of players from Africa want to play football in Europe because it is good and we want Africa to reach that stage," said Motsepe.
Motsepe has confirmed that next year the African Football Championship will feature 24 teams instead of the eight that will participate this season.
Motsepe: AFL imekuja kuongeza uchumi wa klabu
Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) Patrick Motsepe amesema lengo la michuano ya African Football League (AFL) ni kuzisaidia klabu za Afrika kiuchumi.
Motsepe amesema timu zinazoshiriki michuano hiyo zinapatiwa kiasi kikubwa cha pesa na zile zinazofanya vizuri zaidi inakuwa kubwa zinaweza kuisaidia kufanya vitu vikubwa zaidi.
Motsepe ameongeza kuwa AFL haitaiua michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho kama wengi wanavyodhani badala yake imeanzisha ili kuziongezea klabu uwezo wa kiuchumi.
“Moja ya malengo ya AFL ni kuzisaidia klabu kiuchumi sababu tunalipa kiasi kikubwa, mipango yetu ni kuzifanya klabu za Afrika zijiendeshe kisasa.”
“Idadi kubwa ya wachezaji kutoka Afrika wanatamani kucheza soka barani Ulaya sababu ya malipo mazuri nasi tunataka Afrika tufike kwenye hatua hiyo,” amesema Motsepe.
Motsepe amethibitisha mwakani michuano ya African Football itashirikisha timu 24 badala ya nane ambazo zitashiriki msimu huu.
Subscribe to:
Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...





