Friday, November 10, 2023
SIMBA SPORTS CLUB YAKIRI KUSHINDWA KUIFUNGA NAMUNGO
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC uliopigwa Uwanja wa Uhuru umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja.
Tulianza mchezo kwa kasi huku tukiliandama lango la Namungo lakini hata hivyo mashambulizi yetu yaliishia kwenye mikono ya mlinda mlango, Jonathan Nahimana.
Relient Lusajo aliipatia Namungo bao la kwanza dakika ya 28 baada ya kumalizia pasi ya Jacob Masawe.
Jean Baleke alitupatia bao la kusawazisha dakika ya 75 baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Moses Phiri.
X1: Ayoub, Kapombe, Zimbwe Jr, Che Malone (Kennedy 80′), Henock, Ngoma (Miquissone 68′), Chama (Bocco 72′), Mzamiru, Baleke, Ntibazonkiza (Chilunda 58′), Onana (Phiri 45′)
Walioonyeshwa kadi:
X1: Nahimana, Kibailo, Asante, Mukombozi, Nyoni, Domayo (Kichuya 65′), Nyenye, Manyanya, Lusajo (Sabato 65′), Buswita (Blandja 73′), Masawe (Majimengi
Walioonyeshwa kadi:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment