Tuesday, November 14, 2023

SIMBA SPORTS CLUB YAJIVUNIA KUWA NA CHANNEL AFRIKA MASHARIKI HAKUNA

Simba WhatsApp Channel sasa ipo tayari kukusogezea taarifa muhimu kuhusu timu yetu. Simba WhatsApp Channel. "Simba imekua klabu ya kwanza kwenye ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kuwa na chaneli maalum ya WhatsApp ambayo itawapa habari mashabiki na wabia wake. Ikiwa inaingoza kwenye mitandao ya jamii, hii ni hatua kubwa kwani zaidi ya watu 2.7 Bilioni wanataumia WhatsApp hivyo Simba itakuwa karibu zaidi ya mashabiki wake na pia kuwa chanzo kizuri cha kuongeza thamani kwa wadhamini wake na wabia wengine.” alisema Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Imani Kajula. Link ya kujiunga inapatikana kwenye bio. #WenyeNchi #NguvuMoja See less

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...