Thursday, November 2, 2023
MSANII ROMA MKATOLIKI AWAPONDA WAANDISHI MANABII WA UONGO WA BONGO
Baada ya msanii wa Nigeria Rema kupafomu kwenye jukwaa la ugawaji tuzo za Fifa usiku wakuamkia leo, Msanii wa Hip hop Roma ameamua kuwatolea uvivu waandishi na watangazaji wa habari wa bongo ambao wamekuwa na tabia zakuwabeza wasanii wa Bongo Fleva kwamba awatoboi kimataifa..!
Angalia video ya Roma akitoa ya moyoni hapa, Gusa link hii👉 https://linktw.in/hzffkv
#MinoTV
#Subscribe
#SupportUs
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment