Wednesday, November 8, 2023
MIGUEL KOCHA WA YOUNG AFRICANS HANA NENO DHIDI YA MCHEZO NA COASTAL UNION
"Sina mengi ya kuzungumza kuelekea mchezo wetu wa leo Nov 9 2023 dhidi ya Coastal Union kwasababu ya muda, jana tumetumia siku yetu kwa ajili ya kurudisha miili sawa na kusafiri kuja Tanga. Na leo tutakuwa na mazoezi kidogo jioni hayo ndio ninayoweza kusema kwa sasa" Gamondi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment