Wednesday, November 8, 2023

MIGUEL KOCHA WA YOUNG AFRICANS HANA NENO DHIDI YA MCHEZO NA COASTAL UNION

"Sina mengi ya kuzungumza kuelekea mchezo wetu wa leo Nov 9 2023 dhidi ya Coastal Union kwasababu ya muda, jana tumetumia siku yetu kwa ajili ya kurudisha miili sawa na kusafiri kuja Tanga. Na leo tutakuwa na mazoezi kidogo jioni hayo ndio ninayoweza kusema kwa sasa" Gamondi

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...