Saturday, November 18, 2023

KHALID AUCHO APIGWA STOP KUCHEZA LIGI YA NBC

Kiungo wa klabu ya Young Africans Khalid Aucho amefungiwa michezo mitatu na kutozwa faini ya shilingi laki tano kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji Ibrahim Ajibu wa Coastal Union. Mchezo huo uliomalizika kwa Young Africans kuondoka na ushindi wa bao 1-0 Aucho atakosa mechi zifuatazo ๐Ÿ†š Mtibwa Sugar (H) ๐Ÿ†š Tabora Utd (H) ๐Ÿ†š Kagera Sugar (A)

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...