Saturday, November 11, 2023

FAINALI UZEENI AFL KATI YA SUNDOWNS NA WYDAD

Kesho Jumapili, Mamelodi Sundowns watakuwa nyumbani wakiwakaribisha Wydad Casablanca Katika mechi ya kwanza ya fainali Wydad Casablanca wakiwa nyumbani walipata ushindi wa goli 2 - 1 Je, Mamelodi watapindua meza na kutwaa ubingwa wa AFL ama Wydad kulinda ushindi wao na kuwa mabibgwa wa kwanza wa mashindano haya?

No comments:

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...