Sunday, November 5, 2023
CARRIER CORPS DERBY-YOUNG AFRICANS COACH PROMISES FUN-KOCHA MIGUEL AAHIDI BURDANI KWENYE DERBY YA KARIAKOO
"It will be a good and emotional game, we have had a good week of preparation and we have made good preparations. The players are in good condition, Tanzanians and Africa in general will witness a great game tomorrow" Miguel Gamondi
"Utakuwa mchezo mzuri na wenye hisia, tumepata wiki nzuri ya maandalizi na tumefanya maandalizi mazuri. Wachezaji wako kwenye hali nzuri, Watanzania na Afrika kwa ujumla kesho watashuhudia mchezo bora" Miguel Gamondi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment