Saturday, October 21, 2023
Kikosi cha Simba SC, Kimeanza safari Jioni hii Kuelekea Misri kwaajili ya Mchezo wa Marudiano wa mashindano makubwa mapaya ya African Football League dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Jumanne.
Simba ndio timu pekee katika Ukanda wa afrika ya Mashariki ya kwanza na kubwa kulingana na historia yake kuliko timu nyingine yeyote licha kwamba bado baadhi ya mashabiki wa timu ya Young Africans wanalazimisha kutaka kuonekana kuwa wao ndio wenye historia zaidi kuliko timu ya Simba kwa kigezo cha Young Africans kushiriki fainali za Kombe ya Shirikisho chini ya CAF Huku Klabu ya Simba ikiwaimefika Robo fainali ya ligi ya CAF ya afrika mara Nne na ligi ya shirikisho mara tatu
Agg: 2-2.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...

No comments:
Post a Comment