Thursday, October 19, 2023
KESHO.
"Tunaweza Kucheza Kwa juhudi katika Mashindano makubwa, Nina Kikosi Kizuri, Kama Simba Sc tunamuheshimu Kila Mpinzani na tunaamini katika uwezo tuliokuwa nao ndani na nje ya Tanzania kwa sasa."
"Al Ahly ni timu kubwa na bora hapa Afrika, Kesho itakuwa Miongoni mwa Mechi ngumu kutokana na ubora wa Mpinzani tunatakiwa Kuzingatia Mchezo wa kesho Kwani tunataka Kupambana kwa hali na mali ili kupata matokeo."
Vp unakubaliana na Maneno ya Robertihno au tusubili dakika 90😳🙌🤝
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...
No comments:
Post a Comment