Wednesday, May 2, 2012

Tuesday, May 1, 2012

MEI DEI KWARAA BABATI

Bendera mbili zisizoiva chungu kimoja,Lakini Haki na wajibu pia

MEI MOSI BABATI

Mambo yaliiva kwenye uwanja wa kwaraa babati,mtu kibao

SHEREHE ZA MEI MOSI UWANJA KWARAA BABATI


INGAWA hakuzunngumzia kabisa suala la upandaji wa miti linalosimamiwa na ofisi yake,makamu Rais aliamua kupanda mti baada ya kuzindua chuo cha VETA mkoani Amanyara

Mkuu wa mkoa wa Manyara bw Elaston Mwbillo kushoto akionekana ktaka kummegea ishu makamu wa Rais dr Mohamedi Bilal kulia ni balozi wa Korea Kusini bw Young Hoom kulia

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...