Sunday, April 29, 2012

KAMATI KUU YA CCM YABARIKI RAIS JAKAYA KIKWETE KULISUKA UPYA BARAZA LA MAWAZIRI



Rais amepokea taarifa na maazimio ya Kamati ya wabunge wa CCM na Kamati ya uongozi ya wabunge wa CCM juu ya kilichotokea kwenye bunge lililopita mjini Dodoma.
      Taarifa hizo zimewasilishwa kwenye kamati kuu na kujadiliwa. Pamoja na taarifa hizo kamati Kuu imepokea taarifa ya jinsi Rais alivyojipanga kuchukua hatua za kuwawajibisha mawaziri na watendaji wa serikali na wale wa mashirika ya umma waliobainika kuhusika na ubadhirifu ulioinishwa na  taarifa ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za Serikali, Kamati za kudumu za bunge na wabunge bungeni.

Kamati Kuu imeamua yafuatayo;     
 
1. Kamati Kuu inatambua na kuheshimu haki na wajibu wa wabunge kujadili utendaji wa serikali yao.Inapongeza   juhudi za serikali kuhakikisha kuwa ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali inajadiliwa kwa uwazi na hivyo kuibua mapungufu yaliyojadiliwa.
   
2. Kamati Kuu imeridhika na imebariki uamuzi wa Rais   KULISUKA UPYA BARAZA LA MAWAZIRI na taasisi zingine zilizoanishwa katika ripoti hizo. Imesisitiza utekelezaji wa uamuzi huo ufanywe mapema iwezekanavyo.
           
Aidha kamati Kuu imeipongeza Kamati Teule ya baraza la wawakilishi Zanzibar iliyoundwa kuchunguza utendaji katika sekta mbalimbali kwenye serikali ya mapinduzi Zanzibar kwa taarifa yao.
           Kamati Kuu inawapongeza wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa jinsi walivyojadili taarifa hiyo na pia Kamati Kuu inaipongeza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kuipokea taarifa na kuanza kuifanyia kazi.

Friday, November 19, 2010

18 students are in lock-up in Manyara,breaking news!!

Polisi mkoani Manyara inawashikilia wanafunzi 18 wa shule ya sekondari ya bweni ya Balangdalalu wilayani Hanang mkoani Manyara kutokana na tuhuma za kumshambulia mkuu wa shule hiyo Bw Godlivin Tiaso kwa vitu vyenye ncha kali na mawe na kumsababisia kulazwa kuharibu mali za shule hiyo kutokana na kile kinachodaiwa kumtuhumu kukutwa na mwanafunzi wa kike nyakati za usiku.
akithibitisha kutokea kwa vurugu hizo juzi kamanda wa polisi mkoani Manyara Bw Parmena Sumary akizungumzia tukio hilo (leo Nov 19)amesema polisi imelazimika kuwashikilia wanafunzi hao na kuendelea kuwahoji na wakibainika kuhusika moja kwa moja itawafikisha mahakamani kujibu tuhuma hizo za uharibifu wa mali pamoja na shambulio.
Aidha kamanda Sumary amesema kabla ya wanafunzi hao kumshambulia mkuu huyo wa shule katika tukio hilo lililotokea usiku wa manane walimwandaa mwanafunzi wa kike wa kidato cha tatu kwenda kumwamsha mkuu huyo bw Tiaso ili kumsikiliza matatizo yake na alipotoka nyumbani kwake ,mwanafunzi huyo alimwita pembeni na kutoa ishara kwa wananfunzi wenzake.
Hata hivyo kamanda Sumary amesema wanafunzi hao walianza kumpiga kwa vitu vigumu na mawe wakimtuhumu kumfumania mwalimu na mwanafunzi huyo tuhuma ambazo amesema polisi inazifanyia kazi na kuharibu mali za shule ambazo gharama yake bado haijafahamika.
Kwa upande mwingine mkuu wa shule hiyo Bw Godliving Tiaso alipoulizwa na radio one kwa njia ya simu toka katika hospitali ya Tumaini ya halmashauri ya wilaya ya Hanang alipolazwa amesema tukio hilo limetokana na ukosefu wa nidhamu ya shule lakini pia hakufumaniwa na mwanafunzi huyo kama wananfunzi hao walivyosambaza uvumi huo.
je, wananchi katika hili mnalziungumziaje?
mwisho

wazee wa nchi

Monday, November 15, 2010

arusha journalists going online

 
My name is Charles Masayanyika from Manyara region and based at Babati town as a journalist correspondent of ITV na radio one.
I came in Arusha since yesterday for MISA invitation of learning internet subjects.
Today morning when I woke up came here purposely of learning for learning is my hope that since when we were starting how to learn through our teacher everything is going well.
and at the end of training each journalist will be already to know how to open his/her blogs.



bwana mussa hebu tueleze fedha za taswa ziko wapi na isitoshe umekuwa katibu wa chama hicho kwa miaka mingi kwanini huitishi vikao? na inaonekana wewe umekuwa ukihodhi madaraka kinyume na katiba ya taswa

FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE

Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...