Friday, October 20, 2023
Meet 70-year-old virgin who is currently looking for a man to marry her
A virgin woman is hard to come by in the modern world. Aliphosin Tabarwa, a 70-year-old virgin from the DRC, said that she is extremely pure. She has never had a sexual relationship with a man.
Tabarwa claimed in an interview with Afrimax English that she gave everything up to care for her younger siblings. She decided to abstain from worldly pleasures so that she could raise her siblings and ensure that they all finished high school.
Since she avoided men and generally said no to them when they tried to approach her, she hasn’t had a sexual relationship with one for the past 70 years.
The 70-year-old virgin also admitted that, while all of her peers her age are married and have families, she only has her siblings, for whom she has sacrificed her happiness.
Don’t be like Tabarwa, get that boyfriend, and start a life.
Nahodha wa timu, John Bocco amesema licha ya ugumu tutakaoupata kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Al Ahly lakini uwepo wa mashabiki ambao watakuja kwa wingi uwanjani utatuongezea nguvu.
Bocco amesema mashabiki wana mchango mkubwa kuisaidia timu kupata ushindi nasi tutatumia nafasi hiyo kuhakikisha tunashinda ili kujiweka kwenye mazingira mazuri.
Bocco ameongeza kuwa haitakuwa mechi rahisi na kila mchezaji analijua hilo na maandalizi waliyopata anaamini tutapata ushindi.
The captain of the football team of Simba sports club, John Bocco has said that despite the difficulties we will face in tomorrow's game against Al Ahly, the presence of fans who will come to the field in large numbers will increase our strength.
Bocco said the fans have a great contribution to help the team win and we will use that opportunity to ensure we win to put ourselves in a good environment.
Bocco added that it will not be an easy match and every player knows that and the preparation they got believes we will win.
Subscribe to:
Comments (Atom)
FISTON MAYELE ASHINDWA KUTETEMA KWA PERCY TAU WA AL AHLY,CAF YAMUONA NI BORA KULIKO MAYELE
Mchezaji machachari wa Kimataifa wa Afrika ya Kusini na klabu ya Al Ahly Percy Tau amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi za Ndani Barani...
-
TAARIFA KWA UMMA Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigiz...
-
🟡Taarifa za kuaminika ni kuwa Klabu ya Yanga itasafiri Jumatatu hii November 20, 2023 kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza...






